Maisha
Aliyekuwa DC Tabora Mjini kufungua shauri kupinga uamuzi wa Rais Samia kumstaafisha
Mahakama Kuu Masijala Kuu imemruhusu aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Tabora Mjini, Komanya Kitwala kufungua shauri la mapitio ya mahakama kupinga uamuzi ...UVIKO-19 na vita ya Ukraine vyakwamisha majaribio ya SGR Dar-Morogoro
Serikali imesema kazi ya utengenezaji wa vichwa vya treni ya reli ya kisasa (SGR) haukukamilika kwa wakati kutokana na watengenezaji kupata changamoto ...Shitaka linalomkabili mume anayedaiwa kumtoboa macho na kumng’oa jino mkewe
Mwanaume anayedaiwa kumshambulia mke wake, kumtoboa macho na kumng’oa jino, Isack Robertson (45) amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Arusha. Mtuhumiwa huyo ...Serikali kujenga vituo vya mafunzo kwa waraibu wa dawa za kulevya
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge na Uratibu, Jenista Mhagama amesema Serikali imejenga vituo maalum vya urekebu na ...Marekani imefuta Visa ya Spika wa Bunge la Uganda kisa Sheria ya Kupinga Ushoga
Marekani imefutilia mbali visa ya Spika wa Bunge la Uganda, Anita Among huku mbunge, Asuman Basalirwa akisema yeye ndiye mwathirika wa kwanza ...Mwanaume aomba mahakama ivunje ndoa yake kutokana na uzuri wa mkewe
Mwanamume mwenye umri wa miaka 40 kutoka nchini Zambia, Arnold Masuka, ameiomba mahakama kuvunja ndoa yake kutokana na urembo wa kipekee alionao ...