Maisha
Asimamishwa kazi kwa kukausha bwawa la maji ili kutafuta simu yake
Afisa wa serikali nchini India, Rajesh Vishwas ambaye alitoa maji kwenye hifadhi ili kutafuta simu aliyoiangusha wakati akipiga selfie, amesimamishwa kazi. Inaelezwa ...Imebainika aliyezuia Polisi wasikamate watuhumiwa Kisutu ni wakili feki tangu 2019
Kufuatia taarifa iliyosambaa kwenye vyombo vya Habari ikimuonesha mtu aliyefahamika kwa jina la Baraka Mkama ambaye alitambulishwa kama wakili aliyekuwa akiwazuia askari ...KENYA: Uchunguzi wabaini Mackenzie aliwaua waumini waliobadili mawazo au waliochelewa kufariki
Waziri wa Mambo ya Ndani nchini Kenya, Prof. Kithure Kindiki amesema mhubiri mwenye utata, Paul Mackenzie wa kanisa la Good News International ...Ufafanuzi wa Polisi kuhusu madai ya Kigwangalla kumpiga risasi mlinzi
Kufuatia taarifa zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii zikimhusisha mbunge wa jimbo la Nzega Vijijini na mmiliki wa kiwanda cha kuchakata pamba kiitwacho ...Mwanafunzi ajiua baada ya kuliwa ada ya chuo kwenye kamari
Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Federal Polytechnic, Ilaro (FPI) nchini Nigeria amejiua baada ya kutumia ada yake ya chuo na ya mwanafunzi ...Mambo 8 ya kuepuka unapotumia lifti za majengo
Lifti ni salama sana, lakini kwa sababu ni mitambo kuna uwezekano kwamba ikatokea dharura za hapa na pale. Baadhi ya dharura huathiriwa ...