Maisha
Waziri asema hali ya usalama mpaka wa Tanzania na Msumbiji haitabiriki
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Innocent Bashungwa amesema hali ya usalama katika mpaka wa Tanzania na Msumbiji ni ya ...Bandari ya Dar es Salaam yaipita Bandari ya Mombasa kwa ufanisi
Bandari za Dar es Salaam, Djibouti na Berbera zimeipita Bandari ya Mombasa katika orodha iliyotolewa hivi karibuni na Benki ya Dunia juu ...Rais Samia: Jaji hakutenda haki sakata la wafugaji Lindi
Rais Samia Suluhu Hassan amewaagiza watendaji wa mahakama nchini kuziangalia kwa ukaribu mahakama za ngazi za chini ili wananchi waweze kupata haki ...Serikali yatangaza ukomo wa saa za kufundishwa wanafunzi
Serikali imesema sheria ya elimu haijaweka ukomo wa saa za kufundisha wanafunzi ili kutoa fursa ya mtaala kuwa nyumbufu kulingana na mahitaji ...Sasa utaweza kuhariri (edit) ujumbe unaotuma WhatsApp
WhatsApp imetangaza kuongeza kipengele kipya cha kuhariri ujumbe uliokosewa kwa watumiaji utakaonza kutumika hivi karibuni duniani kote. Mtandao huo unaomilikiwa na Meta ...Waziri Mbarawa: Miaka miwili ya Rais Samia ni neema sekta ya Ujenzi
Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi imesema katika kipindi cha miaka miwili ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan imeweza kupiga hatua kubwa ...