Maisha
Mtoto aliyesaidiwa matibabu ya ngozi na Rais Samia atoka hospitali
Mtoto Aminu Baranyikwa (15) aliyesaidiwa matibabu ya ngozi na Rais Samia Suluhu Hassan wakati akiwa ziarani mkoani Kagera ameruhusiwa kutoka hospitalini na ...Mufti aomba Serikali na wadau kununua chombo cha kutazamia mwezi
Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir ameiomba Serikali na wadau kusaidia upatikanaji wa darubini ya kukusanya taarifa za mwandamo wa mwezi (moon ...Kenya: Waislamu wailaumu Serikali kuwapotosha kusherehekea Eid Ijumaa
Baadhi ya Waislamu nchini Kenya wameishutumu serikali ya Kenya kwa kuwapotosha watu baada ya kutangaza kuwa Ijumaa ni siku ya mapumziko kwa ...Mzee ‘aliyepigwa’ risasi na Polisi kukatwa mguu, IGP aagiza uchunguzi
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Camillius Wambura amemtuma Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) kufuatilia tukio la mzee ...Museveni akataa kusaini muswada wa mapenzi ya jinsia moja, aurudisha bungeni
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni amekataa kutia saini muswada wa sheria dhidi ya mapenzi ya jinsia moja unaotoa adhabu ya kifo katika ...Serikali yasajili miradi ya trilioni 17, yaweka rekodi ya ajira
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema katika kipindi cha mwaka 2021 hadi Januari, 2023 Serikali imesajili jumla ya miradi ya uwekezaji 537 yenye ...