Maisha
Waziri Afya apendekeza Hospitali ya Mirembe ibadilishwe jina
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amependekeza Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe kubadilishwa jina ili wananchi kujitokeza kwa wingi na ...Bilioni 8 zatengwa kusomesha madaktari bingwa 400
Serikali imetenga zaidi ya TZS bilioni 8 kwa ajili ya utekelezaji wa mpango wa “Samia Suluhu Super Specialists Programe” itakayosomesha madaktari bingwa ...Mkurugenzi aliyedaiwa kuuza viwanja kwa bilioni 1 ‘atumbuliwa’
Rais Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Sekiete Yahaya Selemani kuanzia Aprili 16,2023. Taarifa iliyotolewa ...Sudan: Wanafunzi wa Chuo Kikuu wakwama kwenye majengo, mmoja apigwa risasi
Ikiwa ni siku ya nne kufuatia mapigano makali nchini Sudan, wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Khartoum wamenaswa ndani ya majengo ya chuo ...Mbunge: Wazazi wanawashawishi watoto kufeli ili kuwapunguzia gharama
Mbunge wa Viti Maalum kutoka mkoani Tanga, Husna Sekiboko amesema baadhi ya wazazi wilayani Lushoto mkoani humo huwashawishi watoto wao wafeli mitihani ...Vijana wapewa mikopo takribani bilioni 2
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Vijana imetoa mikopo yenye thamani ya TZS bilioni 1.88 kwa ajili ...