Maisha
Kipato cha kila mkazi wa Dar chaongezeka kwa laki 5
Takwimu zilizotolewa na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) zinaonesha ongezeko la asilimia 5 katika wastani wa kipato cha Mtanzania kwa mwaka ambao ...Wafungwa 691 wanasubiri adhabu ya kifo nchini
Wadau wa haki za binadamu wameitaka serikali kuondoa adhabu ya kifo na badala yake kuwe na sheria mbadala, wakieleza kuwa adhabu hiyo ...Upasuaji wa kurekebisha ‘shape’ Mlongazila kuanza Oktoba 27
Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila imetangaza kuanza zoezi la upasuaji wa kibingwa kwa ajili ya kupunguza uzito na upasuaji shirikishi (Cosmetic Surgery na ...Watatu wafariki, polisi ajeruhiwa kwenye vurugu za kutoa uchawi
Watu watatu wakazi wa Kijiji cha Kazuramimba wilayani Uvinza mkoani Kigoma wamethibitishwa kufariki katika vurugu zilizohusisha vitendo vya kutoa uchawi maarufu kwa ...EWURA yavifungia vituo viwili kwa kuficha mafuta
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kuvifungia vituo vingine viwili kwa muda wa miezi sita kwa kosa ...









