Maisha
Polisi: Tunamshikilia Dkt. Kibaba, hajatekwa
Kufuatia taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii ikieleza kuwa kiongozi (admin) wa Umoja wa Madaktari Tanzania, Dkt. Kibaba Furaha Michael ametekwa, Jeshi ...Rais Samia: Tutaanza kutekeleza miradi kwa fedha za ndani
Rais Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali ya Awamu ya Sita inaanza mkakati mpya wa kutekeleza miradi ya kimkakati kwa kutumia fedha za ...Pacha wajinyonga hadi kufariki baada ya kukorofishana na mama yao Pemba
Watoto wawili wa kike, ambao ni mapacha wenye umri wa miaka 11 na wanafunzi wa darasa la tano katika Shule ya Kizimbani, ...Wadukuzi wauza video za wajawazito kutoka hospitali ya uzazi India
Wadukuzi nchini India wamedukua video za CCTV Camera katika moja ya hospitali ya uzazi nchini humo zinazoonesha baadhi ya wajawazito wakipatiwa matibabu, ...Rais Samia: Waliofuata mkumbo kwenye vurugu Oktoba 29 waachiwe
Rais Samia Suluhu Hassan ameielekeza Ofisi ya Mashtaka kuwafutia makosa vijana walioonekana kushiriki vurugu siku ya uchaguzi, Oktoba 29, 2025 kwa kufuata ...Rais Samia: Uwaziri Mkuu ni nafasi ya kulitumikia Taifa na wananchi
Rais Samia Suluhu Hassan amesema nafasi ya Uwaziri Mkuu haihitaji urafiki, undugu na ujamaa, badala yake ni nafasi ya kulitumikia Taifa. Ameyasema ...








