Maisha
Ahukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa kubaka na kuua
Mahakama Kuu Kanda ya Iringa imemhukumu kunyongwa hadi kufa Mohamed Njali, kwa kosa la kumbaka na kumuua kwa kumkaba Atika Chesco Kivanule ...JKCI kuja na tiba ya upungufu wa nguvu za kiume
Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) inatarajia kuanza kutoa tiba ya kuzibua mishipa ya uume ili kukabiliana na upungufu wa nguvu ...Rais Samia asema Afrika haitoendelea isipowekeza zaidi kwenye rasilimali watu
Rais Samia Suluhu Hassan amesema ni muhimu kwa viongozi wa Afrika kuhakikisha wanaangalia, wanatathmini na kusimamia mageuzi yote muhimu ili kuliwezesha bara ...SBL imetumia bilioni 12 kwa wakulima wadogo, yajikita kuanzisha mradi wa kulima mtama Handeni
Kampuni ya Serengeti Breweries Limited (SBL), moja ya viwanda vikubwa vya bia nchini, iliyokamilisha mwaka wake wa fedha mwezi Juni, imebainisha kuwa ...Mali yaondoa Kifaransa kama lugha rasmi
Mali imeondoa lugha ya Kifaransa kama lugha rasmi, hatua ambayo imechukuliwa zaidi ya miaka 60 baada ya Bamako kupata uhuru wake. Uamuzi ...New Zealand: Waziri wa Sheria ajiuzulu baada ya kuendesha gari akiwa amelewa
Waziri wa Sheria kutoka nchini New Zealand, Kiri Allan amejiuzulu mara moja baada ya kukabiliwa na mashtaka ya kuendesha gari akiwa amelewa ...









