Maisha
Amnyonga na kumtupa kwenye shimo la choo mwanaye wa miezi 9 baada ya ugomvi na ...
Polisi nchini Kenya wanamsaka mwanaume wa makamo anayedaiwa kumuua binti yake wa miezi tisa katika Soko la Ikanga, tarafa ya Mutomo, Kaunti ...Binti wa miaka 15 ashikiliwa kwa kutoroka na mtoto wa mwajiri wake
Jeshi la Polisi mkoani Tabora linamshikilia Christina Nashoni (15), mkazi wa Kijiji cha Malagarasi, Wilaya ya Kasulu, mkoani Kigoma, kwa tuhuma za ...Serikali: Mikopo ya bilioni 82 imetolewa kwa wanawake, vijana na walemavu
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa, amesema katika mwaka wa Fedha 2024/25, ...Rais Tinubu atangaza hali ya dharura Jimbo la Rivers, amsimamisha Gavana
Rais wa Nigeria, Bola Tinubu ametangaza hali ya dharura katika Jimbo la Rivers, linalozalisha mafuta, na kumsimamisha Gavana wa jimbo hilo, Siminalayi ...Ripoti: Marekani yathibitisha kundi hatari la Mexico lilikuwa na maabara ya dawa za kulevya Kenya
Serikali ya Marekani imethibitisha kuwa kundi hatari la uhalifu kutoka nchini Mexico, Jalisco New Generation Cartel (CJNG), lilikuwa likiendesha maabara kubwa ya ...Mkenya aliyehukumiwa kifo Vietnam adaiwa kuwahi kufungwa Ghana kwa usafirishaji madawa
Mwanamke mmoja Mkenya, ambaye kwa sasa yuko gerezani Hong Kong, amedai kuwa aliwahi kufungwa nchini Ghana pamoja na Mkenya anayesubiri kunyongwa nchini ...