Maisha
Zelensky: Wanajeshi 46,000 wa Ukraine wameuawa kwenye vita
Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky amesema anaamini zaidi ya wanajeshi 46,000 wa nchi hiyo wameuawa na wengine takriban 380,000 wamejeruhiwa tangu kuanza ...Wafungwa kuanza kupewa ujuzi na vyeti vya VETA gerezani
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innnocent Bashungwa ameliagiza Jeshi la Magereza kusimamia kikamilifu mpango wa kuwapa ujuzi na mafunzo ya ...Akamatwa akiwa na sare za Jeshi la Wananchi zenye cheo cha Luteni
Jeshi la Polisi mkoani Simiyu limemshikilia mtu mmoja aitwaye Emmanuel Mapana maarufu kama Mchambi (24), mkazi wa Mtaa wa Sima, wilayani Bariadi ...Aliyeiba bia za mama yake ajinyonga rumande baada ya mama yake kukataa kumfutia kesi
Polisi katika mji wa Eldoret nchini Kenya wameanzisha uchunguzi kuhusu kifo cha Collins Cheruiyot, kijana mwenye umri wa miaka 24, aliyekuwa akikabiliwa ...Wanaume watatu wakamatwa na watu watano wasiojulikana Tarime
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi Tarime Rorya limesema limeanza uchunguzi wa kuwabaini watu watano wasiojulikana ambao wanatuhumiwa kuwakamata watu watatu wakazi ...Siku ya Kondomu Duniani kuadhimishwa kwa mara ya kwanza nchini
Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI Magonjwa ya Ngono na Homa ya Ini (NASHCoP), Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) na Shirika ...