Maisha
Watu milioni 10 wajiunga Threads ndani ya saa 7, yaahidi kuipita Twitter
Watumiaji milioni 10 wamejisajili kwenye programu tumizi ya ‘Threads’ iliyozinduliwa na kampuni ya Meta katika kipindi cha saa saba tangu kuzinduliwa kwake. ...Mwanaume ajichoma moto baada ya mkewe kukataa kumpikia kuku
Polisi nchini Kenya wanachunguza tukio la mwanamume mmoja aliyefariki kwa kujichoma moto baada ya mkewe kudaiwa kukataa kupika kuku nyumbani kwao Uriri, ...Mwanafunzi wa miaka 16 apewa ujauzito na mzee wa miaka 65
Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga linamtafuta Amos Samson (65) mkazi wa Kata ya Kolandoto Manispaa ya Shinyanga kwa tuhuma za kumpa ...Waziri Masauni amuonya Zumaridi, asema kanisa lake halijasajiliwa
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni amesema Serikali itazichukuliwa hatua taasisi zote za kidini ikiwemo taasisi inayoendeshwa na Diana ...Mambo 6 hatari unayofanya kila siku
Kila siku tunafanya mambo ambayo yanaweza kuonekana kuwa ni salama, lakini kitaalam mambo hayo yanaweza kuwa na madhara makubwa kwa afya zetu. ...









