Maisha
BoT: Ni marufuku kukataa malipo kwa shilingi ya Tanzania
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imesema hakuna mtu au kampuni yoyote inayoruhusiwa kuikataa shilingi ya Tanzania kwa malipo yoyote halali, kwani ndiyo ...Vitabu 5 vinavyosomwa zaidi Afrika
Usomaji wa vitabu ni njia nzuri ya kujifunza na hata kubadili maisha yako kwa ujumla, ambapo husaidia kukupa ujasiri wa kujenga hoja ...Wananchi Kigoma wafunga barabara kushinikiza ramli ili kufukuza wachawi
Jeshi la Polisi mkoani Kigoma linawashikilia watu watano wakazi wa Kijiji cha Ilagala kata ya Ilagala wilayani Uvinza mkoani Kigoma walioshiriki kufunga ...Watu 25 wauawa shuleni nchini Uganda
Watu 25 wameuawa na wengine nane wamejeruhiwa kufuatia shambulizi la kundi la waasi la Allied Democratic Forces (ADF) katika Shule ya Sekondari ...Ishara 9 zinazoashiria una tatizo la afya ya akili
Kwa mujibu wa mwanasaikolojia, Hellen Mrema kutoka Pour Your Heart Psychotherapy and Counselling Centre Dar es Salaam anaeleza kuwa changamoto ya afya ...Rais Samia atoa onyo kwa wezi wa vifaa miradi ya maendeleo
Rais Samia Suluhu Hassan amekemea tabia ya baadhi ya Watanzania wasio waaminifu wanaoiba vifaa katika miradi mikubwa inayoendelea kutekelezwa nchini. Ameyasema hayo ...









