Maisha
Hospitali ya Muhimbili yapiga marufuku mifuko ya plastiki
Uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili umepiga marufuku matumizi ya mifuko ya plastiki katika mazingira ya hospitali ikiwemo wodini na maeneo mbalimbali ...Kwanini Mkoa wa Kagera ni mkoa masikini zaidi nchini?
Mkoa wa Kagera unapatikana Kaskazini-Magharibi mwa Tanzania. Jina lake linatokana na mto Kagera. Mkoa huu unapakana na nchi ya Uganda kwa Kaskazini, ...Serikali yavuka lengo la makusanyo ya mapato ya ‘betting’
Serikali imefanikiwa kuvuka lengo katika makusanyo ya michezo ya kubashiri ambapo kufikia mwezi Mei mwaka huu imekusanya TZS bilioni 146.9 na ambapo ...Waziri Kairuki: Waombaji wa ajira 419 walidanganya kuwa ni walemavu
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Angellah Kairuki amesema kati ya waombaji 171,916 walioomba ...Watu 260 wafariki kwenye ajali India
Zaidi ya watu 260 wamefariki dunia na 1,000 wamejeruhiwa katika ajali iliyohusisha treni tatu katika jimbo la Odisha Mashariki mwa India usiku ...Magunia 731 ya bangi yakamatwa Arusha, hekari 308 zateketezwa
Kufuatia agizo la Rais Samia Suluhu Hassan la kufanya operesheni nchi nzima ili kuhakikisha dawa za kulevya zinatokomezwa nchini, Mamlaka ya Kudhibiti ...









