Maisha
Akiri kumuua mume wake na kumzika ndani ya chumba chao
Jeshi la Polisi mkoani Geita linamshikilia Martha Japhet (44) mkulima na mkazi wa Kitongoji cha Mzalendo Kijiji cha Mawemeru, Kata ya Nyarugusu ...Lema aitwa Polisi kuwasilisha madai yake
Jeshi la Polisi limemsisitiza Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Godbless Lema kufika katika kituo cha Polisi ili awasilishe rasmi taarifa aliyoitoa ...Serikali yapandisha kima cha chini cha mshahara Sekta Binafasi
Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) imetangaza kima kipya cha chini cha mshahara kwa sekta binafsi, ...JWTZ lawaomba Watanzania kupuuza taarifa za uchochezi mitandaoni
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limewaomba Watanzania kupuuza machapisho/ taarifa kwenye mitandao ya kijamii yenye lengo la kuleta uchochezi ...Mtoto afariki baada ya kudokolewa na kuku Songwe
Mtoto Josiah Mwambene, aliyemaliza darasa la saba katika Kijiji cha Majengo, wilayani Mbozi mkoani Songwe, amefariki dunia katika mazingira yaliyotajwa kuwa ya ...Mbaroni kwa tuhuma za mauaji ya mama wa kambo
Jeshi la Polisi mkoani Mbeya linamshikilia Tatuzo Yohana Mzumbwe, mkazi wa Masoko mkoani humo kwa tuhuma za mauaji ya mama yake wa ...








