Maisha
Ahukumiwa jela kwa kutumia cheti cha mtu mwingine kujiunga chuo
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu Elina Masawe kifungo cha miaka mitatu jela kwa kosa la kutumia cheti cha kidato cha nne ...Miaka 20 jela kwa kukata nyaya za TTCL
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu Mohamed Mwichui kifungo cha miaka 20 jela kwa kosa la kuingilia miundombinu ya Shirika la Mawasiliano ...Wanaume walalamika wake zao kutowashirikisha fedha wanazopata kwenye VICOBA
Vikundi vya Kuweka Akiba na Kukopeshana (VICOBA) vimedaiwa kuchangia kwa kiasi kikubwa vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa wanawake kutokana na wanawake ...Aslay ataja kilichosababisha apotee kwenye muziki
Msanii wa muziki Tanzania, Aslay Isihaka kwa mara ya kwanza ameweka wazi mambo yaliyomfanya apotee kwenye tasnia ya muziki huku akitaja kifo ...Mkuu wa Polisi Nigeria ahukumiwa kwenda jela miezi mitatu
Mahakama Kuu nchini Nigeria imemhukumu Mkuu wa Polisi nchini humo, IGP Usman Alkali Baba kifungo cha miezi mitatu jela kwa madai ya ...Kenya yakumbwa na uhaba wa kondomu
Mashirika ya kiraia nchini Kenya yamelalamikia kuwepo kwa uhaba mkubwa wa kondomu za bure kote nchini humo kutokana na ushuru kuwa mkubwa. ...