Maisha
Apple yatishia kuiondoa Twitter kwenye App Store
Mfanyabiashara Elon Musk ambaye ni mmiliki mpya wa mtandao wa Twitter ameishutumu Kampuni ya Apple kwa kutishia kuiondoa Twitter kwenye programu zake ...Mwanamke akamatwa akijaribu kupenyeza bangi kwa mumewe aliyeko gerezani
Mwanamke mmoja nchini Kenya, Caroline Imenza amekamatwa siku ya Jumapili kwa kujaribu kupenyeza bangi kwa mumewe ambaye alikuwa chini ya ulinzi wa ...Rais Mstaafu wa Comoro ahukumiwa kifungo cha maisha jela
Mahakama nchini Comoro imemhukumu kifungo cha maisha jela Rais Mstaafu nchi hiyo, Ahmed Abdallah Sambi ambaye amepatikana na hatia ya kuuza hati ...Ndejembi awataka wanafunzi vyuo vikuu kutowatega kingono wahadhiri
Naibu Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Deogratius Ndejembi amewataka wanafunzi kutowatega wahadhiri wao kingono ili ...Majambazi wasimamisha mahubiri kanisani na kuwaibia waumini
Majambazi waliokuwa na silaha wamevamia kanisa huko Johannesburg nchini Afrika Kusini na kuwapora waumini huku wakiwatisha kwa bunduki, Jumamosi Novemba 26 mwaka ...Afa maji akijipiga selfie kwenye maporomoko
Athuman Rashid mkazi wa Balan’ga Wilaya ya Kilindi mkoani Tanga amefariki wakati akijipiga picha (selfie) katika eneo lililokuwa likipokea maji yaliyokuwa yakiporomoka ...