Maisha
Vijana wapewa mikopo takribani bilioni 2
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Vijana imetoa mikopo yenye thamani ya TZS bilioni 1.88 kwa ajili ...Sudan: Takribani watu 100 wauawa katika mapigano
Mapigano makali yameendelea kwa siku ya tatu sasa na idadi ya waliofariki ikikaribia 100 huku mamia ya wananchi wakijeruhiwa katika mji mkuu ...Jeshi la Polisi latoa tahadhari kuelekea mchezo wa Simba na Yanga
Kuelekea katika mchezo wa Simba na Yanga Jumapili Aprili 16 mwaka huu katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, Jeshi ...NEMC: Gari linaloonekana mtandaoni siyo letu
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limesema gari linaloonekana katika video inayosambaa katika mitandao ya kijamii si lao. ...Maeneo yatakayokosa maji kwa saa 16 kuanzia Aprili 14
Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira (DAWASA) imetangaza kukosekana kwa huduma ya maji kwa wateja wanaotumia mtambo wa kuzalisha maji ...Korea kuwalipa milioni 1 kila mwezi vijana wanaosumbuliwa na upweke
Korea Kusini imetangaza kutoa $500 [TZS milioni 1.17] kila mwezi kwa kila kijana anayepitia hali ya upweke na kujitenga kwa lengo la ...









