Maisha
Adaiwa kumuua mwenzake wakigombea maji ya kupika ili ‘kulegeza’ Swaumu
Jeshi la Polisi linamshikilia, Hassan Nyundo kwa tuhuma za kumchoma kisu na kusababisha kifo cha Amiri Mohamed (24) mkazi wa Kijiji cha ...Poda ya watoto ya J&J yadaiwa kusababisha saratani
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) linachunguza uwezekano wa kuwepo sokoni poda za wawatoto zinazotengenezwa na kampuni kubwa ya dawa ya Marekani ya ...Kenya: Ugumu wa uchumi wasababisha mamilioni kukata tamaa ya kutafuta kazi
Takwimu kutoka Ofisi ya Kitaifa ya Takwimu nchini Kenya (KNBS) zimebainisha kuwa theluthi mbili ya watu wasio na kazi wamekata tamaa kutafuta ...Kenya: Wananchi waacha magari majumbani kutokana na bei kubwa ya mafuta
Wakati Tanzania bei ya mafuta ikishuka, nchini Kenya matumizi ya mafuta yamepungua kwa mara ya kwanza tangu 2017, ikiashiria hali ya uchumi ...Bei ya petroli na dizeli zashuka, hizi ni bei mpya kwa mikoa yote
[pdf-embedder url=”https://swahilitimes.co.tz/wp-content/uploads/2023/04/CAP-PRICES-FOR-PETROLEUM-PRODUCTS-EFFECTIVE-WEDNESDAY-5th-APRIL-2023.pdf” title=”CAP PRICES FOR PETROLEUM PRODUCTS EFFECTIVE WEDNESDAY 5th APRIL 2023″]Polisi: Madereva watembee na vyeti vya udereva, tutavikagua
Katika mchakato wa uhakiki wa leseni za madereva, Jeshi la Polisi kupitia Kikosi cha Usalama Barabarani limesema litawachukulia hatua kali madereva na ...









