Maisha
Watu 4,060 wamefariki kwa ajali za barabarani nchini tangu mwaka 2020
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema ndani ya kipindi cha miaka mitatu kuanzia mwaka 2020 hadi Desemba mwaka 2022 jumla ya ajali zilizotokea ...Fahamu kwanini unapata fangasi ya kucha
Ni rahisi kupata maambukizi ya vimelea katika kucha, ikiwa una maambukizi ya vimelea kwenye mguu wako, fangasi inaweza kuenea na kusambaa kutoka ...Anusurika kifo baada ya kumeza pete ya uchumba iliyofichwa kwenye chakula
Kisa kimoja kimetokea nchini Kenya ambapo mwanamke mmoja anayejulikana kwa jina la Jessica Hawayu amenusurika kifo baada ya kumeza pete iliyowekwa kwenye ...Mume ajinyonga ukweni baada ya mkewe kugoma kurudi nyumbani
Mwanaume mmoja nchini Kenya amejinyonga na kufariki dunia ukweni kwake baada ya jitihada za kumbembeleza mkewe kurudi nyumbani kugonga mwamba. Inaelezwa kuwa ...Maswali 5 ya kujiuliza endapo unataka kurudiana na Ex wako
Kuachana kunaweza kuwa kichocheo cha kujifunza pale ulipokosea. Wakati kutengana kunapotumika kama zana ya kujifunzia, kunaweza kukusaidia kubainisha endapo uhusiano huo unaweza ...Wachimbaji 8 wafariki kwa kufukiwa na kifusi Geita
Wachimbaji nane wamefariki dunia katika Kijiji cha Igando, Kata Magenge Halmashauri ya wilaya ya Geita mkoani Geita baada ya kufukiwa na kifusi ...









