Maisha
Eric Omondi akamatwa katika maandamano kupinga kupanda gharama za maisha
Mchekeshaji kutoka nchini Kenya, Eric Omondi amekamatwa na polisi baada ya kujaribu kuvamia Bunge nchini humo kupinga kupanda wa gharama za maisha. ...Serikali yaondoa ‘expire date’ kwenye vitambulisho vya Taifa
Serikali imeondoa ukomo wa matumizi wa Vitambulisho vya Taifa vilivyomalizika muda wake baada ya kufanya mabadiliko ya kanuni za usajili na utambuzi ...Kenya yabaini uwepo wa Mbu asiyekufa kwa dawa za Afrika
Watafiti kutoka Taasisi ya Utafiti wa Tiba Kenya (KEMRI) wamegundua mbu aina ya ‘Anopheles Stephensi’ kutoka barani Asia ambaye anastahimili viua wadudu ...Abiria sasa kuingia Stendi ya Magufuli kwa kadi za kulipia
Manispaa ya Ubungo imeanzisha utaratibu mpya wa kuingia katika Stendi Kuu ya Mabasi ya Magufuli kwa kutumia kadi (N-Card), ili kuboresha huduma ...Mchungaji Kimaro asamehewa baada ya kuomba msamaha kanisani
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Mashariki na Pwani, Dkt. Alex Malasusa ametangaza msamaha kwa Mchungaji wa ...Fahamu aina ya miwani inayokufaa zaidi kulingana na uso wako
Linapokuja suala la kununua miwani, kuamua saizi ya uso wako na umbo ni muhimu kwa sababu itakusaidia kupata miwani ya jua inayofaa ...









