Maisha
Wakamatwa kwa wizi wa mafuta ya magari yanayotumika katika ujenzi wa barabara
Jeshi la Polisi mkoani Kigoma linawashikilia watu watano kwa tuhuma za kuiba mafuta ya dizeli lita 700 kutoka katika mitambo na magari ...Karani atakayeshindwa kuzifikia kaya zote kutolipwa posho
Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) imesema haitowalipa posho makarani watakaoshindwa kuzifikia kaya 150 kwa maeneo ya mijini na kaya 100 kwa ...Watoto wanne wafariki baada ya mganga kuwasha moto kufukuza mikosi
Watoto wanne wa familia moja wamefariki dunia na wengine saba kujeruhiwa kwa moto uliodaiwa kuwashwa na mganga wa kienyeji kwa lengo la ...Athari 5 za kujinyima kula usizozifahamu
Ni jambo la kawaida kwa watu wengi kukaa muda mrefu bila kula huku wakidai wanafanya ‘diet.’ Kwa mujibu wa Ofisa lishe, Johari ...Hakimu adaiwa kumshambulia kwa kipigo mdeni wake baada ya kushindwa kumlipa TZS 35,000
Hakimu Mkazi kutoka Mahakama ya mwanzo ya Wilaya mkoani Mwanza, John Mugonya anadaiwa kumkamata na kumshambulia kwa kumpiga, Rhoda Charles (42) mkazi ...Utafiti: Kulala saa chache chanzo cha watu kuwa wabinafsi
Hatari za kiafya za kupoteza usingizi zinajulikana sana, kuanzia ugonjwa wa moyo hadi matatizo ya akili, lakini ni nani alijua kwamba kulala ...