Maisha
Familia ya Mtanzania aliyeuawa vitani Ukraine imesema ilimzuia asiende vitani
Familia ya Mtanzania aliyeuawa katika vita nchini Ukraine, Nemes Tarimo (33) imedai ilimuonya kutokubali kupigana vita na vikosi vya Urusi nchini Ukraine, ...Wakenya wapika na kuuza chang’aa Uarabuni
Waziri wa Mambo ya Nje wa Kenya, Alfred Mutua amesema kuna baadhi ya raia wa nchi hiyo waishio ughaibuni wanaojihusisha na utengenezaji ...Serikali kuchunguza vitabu vya shule vinavyohamasisha mapenzi ya jinsia moja
Serikali imesema inafuatilia suala la vitabu vya shule vinavyodaiwa kuwa na maudhui ya kuhamasisha mapenzi ya jinsia moja kwa watoto na kutoa ...Wafanyakazi Ufaransa wagoma, waandamana kupinga kuongezwa umri wa kustaafu
Vyama vya wafanyakazi nchini Ufaransa vimeshiriki mgomo wa kitaifa ikiwemo kufanya maandamano ya kupinga mpango wa serikali ya nchi hiyo wa kuongeza ...Wanawake wawili wauawa Geita, mmoja akatwa sehemu za siri
Watu wawili ambao wote ni wanawake waliotambulika kwa majina ya Bigile Mweshemi (53) Mkazi wa Kijiji cha Nyabulanda na Melesiana Shija (70) ...Rais Ramaphosa asitisha safari ya Uswisi kutokana na mgao wa umeme
Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa amebatilisha mipango ya kuhudhuria Jukwaa la Uchumi Duniani (WEF) linakaofanyika huko Davos nchini Uswisi kwa sababu ...









