Maisha
Askari polisi auawa kwa mshale Loliondo
Askari Polisi mmoja ameuawa kwa kupigwa mshale wilayani Ngorongoro mkoani Arusha wakati wa zoezi la uwekaji mpaka katika eneo la pori tengefu ...Wanaowatumia wazee kuomba mitaani kuchukuliwa hatua
Serikali imesema itawafuatilia na kuwachukulia hatua za kisheria watu wanaowatumikisha wazee kuombaomba mitaani. Ameyasema hayo Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wanawake ...Mashabiki wa Yanga wazuia Mayele kuuzwa
Mtendaji Mkuu wa klabu ya Young African (YANGA), Senzo Mazingisa amesema kwa sasa viongozi wa klabu hiyo hawana mpango wa kumuuza mchezaji ...Fanya mambo haya kuishi na watu wote kwa amani
Jinsi tunavyowatendea watu wengine inaweza kuonekana sawa kwetu lakini pengine ikawa inatafsiriwa vibaya kwao. Lazima ujifunze kuelekeza nguvu zako na kudhibiti misukumo ...Ahukumiwa jela maisha kwa kumlawiti mtoto wa dada yake
Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Iringa imemuhukumu kifungo cha maisha na fidia ya TZS milioni 10 Ramadhan Musa Chewa (34) mkazi ...Alama 5 zitakazokuonesha kama bidhaa ni feki au halisi
Bidhaa za kughushi zimekuwa zikienea kila mahali na kupelekea watu kununua bidhaa zisizofaa na hata kuleta madhara ya kiafya. Hakuna anayetaka kulaghaiwa ...