Maisha
Rais Samia: Uwekezaji wa CCM ni kwa ajili ya kujali utu wa Mtanzania
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kila ambacho wanakifanya nchini Tanzania ikiwemo uwekezaji mkubwa uliofanywa na unaoendelea kufanywa na serikali yake, ni sehemu ...Wakazi wa Dar wapewa wiki 3 wawe wamepaka rangi majengo yao
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam amewatangazia wakazi wote wa jiji hilo, hususani maeneo ya Kariakoo, Mchikichini, Jangwani, Kivukoni, ...Polisi wamsaka mwanamke aliyemnywesha pombe mtoto
Jeshi la Polisi limesema linamsaka mwanamke aliyeonekana kwenye picha mjongeo inayosambaa katika mitandao ya kijamii akimhamasisha na kumnywesha pombe mtoto. Taarifa iliyotolewa ...Polisi wamsaka kijana anayedaiwa kuua ndugu zake Kenya
Polisi wa Ol Kalou nchini Kenya wanamsaka kijana mwenye umri wa miaka 27 anayetuhumiwa kuwaua ndugu zake na kuwajeruhi watoto wawili kwa ...Mganga mbaroni kwa tuhuma za mauaji
Jeshi la Polisi mkoani Pwani linamshikilia kijana aitwaye Ally Juma Shaban (29) mganga wa tiba asilia na mkazi wa Makazi Mapya, Mlandizi ...Muliro: Tumewakamata waliobandika ‘SSH 2530’ kwenye vyombo vya moto
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema baadhi ya wamiliki wa vyombo vya moto wamekamatwa kwa kosa ...








