Maisha
Sikukuu ya Maulid kufanyika Jumapili Oktoba 9
Baraza Kuu la Waislamu wa Tanzania (BAKWATA) limewataarifu Waislamu na Watanzania kwa ujumla kuwa Maulid ya kuadhimisha mazazi ya Mtume Muhammad (S.A.W) ...Mama amchoma mwanae mikono kisa TZS 30,000
Katika hali ya kushangaza mwanafunzi wa Darasa la Saba katika Shule ya Msingi Shahende, Kata ya Butobela wilaya ya Geita mkoani Geita ...Aliyeambiwa ana saratani na kutolewa tezi kimakosa azidai hospitali milioni 500
Florence Samwel ambaye ni mtumishi wa Wizara ya Kilimo amezishtaki Hospitali za TMJ na Hindu Mandal pamoja na Dkt. Maurice Mavura katika ...Kunyimana tendo la ndoa chanzo kikubwa cha migogoro ya familia
• Wanandoa kunyimana tendo la ndoa ni chanzo cha migogoro, msongo wa mawazo na ukatili dhidi ya watoto. • Kesi nyingi zinazoripotiwa ...Mvulana afariki akijaribu kuzuia risasi kwa hirizi
Mvulana aliyejulikana kwa jina la Yusuf Abubakar (12) kutoka nchini Nigeria anadaiwa kuuawa na kaka yake kwa bunduki alipokuwa akijaribu hirizi mpya ...Papa Francis amtunuku Mtanzania nishani ya Heshima
Baba Mtakatifu Papa Francis amtunuku Padre Richard Mjigwa, C.PP.S., kutoka Tanzania Nishani ya Msalaba wa Kanisa na Papa kutokana na huduma ya ...









