Maisha
Flyover ya Chang’ombe yaanza kutumika leo
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amesema Serikali imeruhusu magari kupita katika barabara ya juu (Flyover) ya makutano ya Barabara ...Mwendokasi Mbagala kuanza Machi 2023
Wakala wa Usafiri wa Mabasi yaendayo Haraka (DART) umesema usafiri wa mabasi yaendayo haraka kwa barabara ya Mbagala kuelekea Gerezani utaanza Machi ...LATRA: Kondakta lazima awe na cheti na asajiliwe
Mkurugenzi wa Mamlaka Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), Johansen Kaatano amesema mamlaka inajiandaa kuwasajili na kuwapa vyeti makondakta wa daladala na mabasi yaendayo ...Polisi adaiwa kumjeruhi sehemu za siri mwanafunzi kwa tuhuma ya wizi wa ‘laptop’
Mwanafunzi kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine (SAUT) kilichopo Mkoani Mwanza, Warren Lyimo anadaiwa kupigwa na kuvunjwa korodani na askari kutoka Jeshi ...Mwanamke aliyejifungua atolewa figo kimakosa badala ya Uterasi
Polisi wilayani Mubende nchini Uganda wanachunguza madaktari katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa baada ya kudaiwa kutoa figo ya mama aliyejifungua wakati ...Vyakula vinavyofaa na visivyofaa kula wakati wa hedhi
Mei 28 ya kila mwaka ni siku ya kimataifa ya hedhi salama. Jitihada mbalimbali zinaendelea kufanyika duniani kote wakati huu ambapo suala ...