Maisha
Kitambulisho cha NIDA kutumika kujidhamini mahakamani
Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma ametoa maagizo kwa mahakimu kurahisisha masharti ya dhamana kwa Watanzania kujidhamini kwa kutumia Kitambulisho cha ...Fahamu dalili na namna ya kujikinga na Homa ya Nyani (Monkeypox)
Wizara ya Afya imetoa tahadhari juu ya mlipuko wa ugonjwa wa Homa ya Nyani (Monkeypox) ambao umetamalaki nchi mbalimbali duniani. Naibu Waziri ...Mchungaji kutoka DR Congo aondolewa nchini kwa mara ya tatu
Idara ya uhamiaji nchini kwa kushiriana na Ubalozi Mdogo wa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo uliopo mkoani Kigoma, imemrejesha kwao raia wa ...Diwani aliyepotea kwa miezi mitatu akutwa kwa mwanamke Tabata
Jeshi la Polisi limesema Diwani wa Kata ya Kawe, Mutta Mwakatare (43) mkazi wa Mikocheni Kinondoni aliyetoweka tangu Februari mwaka huu amepatikana. ...Akamatwa kwa kujaribu kukata sehemu za siri za dereva teksi
Mwanaume mmoja huko Chimoio katikati mwa Msumbiji, anashikiliwa na Polisi baada ya kukiri kujaribu kukata sehemu za siri za dereva wa teksi. ...Kijana afa maji akishindania TZS 4,000 kwa kuogelea
Mkazi wa Kitongoji cha Manyala, Kijiji cha Nyabange wilayani Butiama, mkoa wa Mara, Katamala Jackson (29) amefariki dunia kwa kuzama kwenye bwawa ...