Maisha
Familia ya mfanyabiashara wa madini aliyeuawa yamtupia lawama Waziri Mkuu
Baada ya tukio la kuuawa kwa mfanyabiashara wa madini, Mussa Hamisi Madola aliyedaiwa kuuawa na Polisi Mtwara Januari 5 mwaka huu na ...Wazazi wawanywesha watoto pombe wakienda vilabuni ili walale wasiwasumbue
Mkuu wa Wilaya ya Ileje mkoani Songwe, Anna Gidarya amesema wazazi na walezi watakaobainika kushinda vilabuni na watoto wadogo na kuwanywesha pombe ...Mustakabali wa bei ya mafuta kujulikana bungeni kesho
Kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta iliyopelekea kupanda kwa bei ya bidhaa, Serikali inatarajia kuwasilisha bungeni mikakati ya dharura itakayowapa unafuu ...Serikali yamnyang’anya mkandarasi wa MV Hapa Kazi Tu pasi ya kusafiria
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameagiza kukamatwa kwa pasi za kusafiria za wataalamu wa kampuni ya GAS Entec ya Korea Kusini wanaojenga meli ...Akataa kutoka gerezani baada ya mahakama kumwachia huru
Kiongozi wa dini ya Kiislamu, Sheikh Guyo Gorsa Buru ameiomba kutoka nchini Kenya ameng’ang’ania kubaki gerezani licha ya mahakama kumwachia huru katika ...Gari la ofisi ya Mkuu wa Mkoa lakamatwa na bidhaa za magendo
Operesheni maalum iliyoundwa na Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa Songwe imefanikiwa kukamata magari 14 yenye bidhaa za magendo na moja ...