Maisha
Mtanzania anaswa kwa uporaji wa magari ya kifahari nchini Kenya
Raia mmoja wa Tanzania, Pinieli Vavai Lemomo, amekuwa miongoni mwa watuhumiwa watatu waliofikishwa katika Mahakama ya Machakos nchini Kenya kwa tuhuma za ...Wanavyuo waliomdhalilisha mwenzao kisa Mwijaku wafikishwa mahakamani
Wanafunzi watatu wanaodaiwa kumdhalilisha mwanafunzi mwenzao wa Chuo Kikuu Ardhi, Magnificat Kimario, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es ...Polisi kuwasaka waliohusika kuwaua wanandoa Moshi
Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro linawasaka watu waliohusika katika mauaji ya watu wawili ambao ni wanandoa, Geofrey Mota (60), aliyeuawa kwa kukatwa ...Mwanamke aliyemuuza bintiye kwa mganga ahukumiwa kifungo cha maisha jela
Mwanamke aliyemteka na kumuuza binti yake wa miaka sita akiwa na washirika wake wawili nchini Afrika Kusini, amehukumiwa kifungo cha maisha jela. ...Amuua baba mkwe baada ya kuwaamulia ugomvi
Polisi katika eneo la Mukaa, Kaunti ya Makueni nchini Kenya wameanzisha uchunguzi kufuatia tukio la kusikitisha ambapo mwanaume wa makamo anadaiwa kumuua ...Wezi wavunja kanisa, wanywa divai na kula mikate ya sakramenti
Taharuki imetanda miongoni mwa waumini wa Kanisa la Anglikana (ACK) St. Matthew’s Mutithi lililopo Kirinyaga, baada ya watu wasiojulikana kuvunja na kuiba ...