Maisha
Binti auawa baada ya kwenda kumtembelea mpenzi wake Nairobi
Familia moja katika Kijiji cha Kirima, eneo la Ngaru, Kaunti ya Kirinyaga nchini Kenya imepatwa na mshtuko mkubwa baada ya binti yao ...Serikali: Pikipiki zimeua watu 1,113 mwaka 2022-2024
Serikali imesema katika kipindi cha kuanzia mwaka 2022 hadi 2024, jumla ya wananchi 1,113 wamepoteza maisha kutokana na ajali zilizosababishwa na pikipiki ...UNAIDS yatabiri ongezeko la maambukizi ya Ukimwi Marekani ikiendelea na usitishwaji wa misaada
Shirika la Umoja wa Mataifa la Ukimwi (UNAIDS) limesema kesi mpya za maambukizi ya HIV na Ukimwi huenda zikaongezeka kwa zaidi ya ...Mlezi wa kituo cha kulea watoto yatima akamatwa kwa kubaka watoto watano
Jeshi la Polisi mkoani Pwani linamshikilia Stephano Maswala (35), mlezi wa kituo cha kulea watoto yatima kilichopo Mlandizi kwa kosa la kubaka ...Wakuu wa Nchi EAC na SADC wasisitiza mazungumzo kurejesha amani DRC
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania inaendelea kujitolea kusaidia juhudi zinazoendelea za kidiplomasia kumaliza mgogoro mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ...Wizara ya Afya yafafanua upatikanaji wa dawa za ARV
Wizara ya Afya imesema dawa za kufubaza makali ya Virusi vya Ukimwi (ARV) haziuzwi na zipo za kutosha, hivyo watumiaji wa dawa ...