Maisha
Ruto akataa kusaini Muswada wa Fedha 2024
Rais wa Kenya, William Ruto amesema hatatia saini Muswada wa Fedha wa 2024 baada ya Wakenya kuupinga vikali muswada huo na kufanya ...PDPC: Wanaofunga CCTV kamera maeneo ya faragha wanakiuka sheria
Tume ya Ulizi wa Taarifa Binafsi (PDPC) imezionya taasisi na kampuni zote nchini zinazotumia kamera za usalama katika maeneo mbalimbali ya faragha ...Serikali: Rais Mwinyi ataongoza kwa kufuata katiba
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema Rais Dkt. Hussein Mwinyi ataendelea kuheshimu utaratibu uliowekwa wa Rais kuchaguliwa kila baada ya miaka mitano ...Padri anayedaiwa kuhusika kwenye mauaji ya mtoto albino asimamishwa kutoa huduma za kiroho
Jimbo la Katoliki la Bukoba limemsimamisha huduma za kichungaji, Padri Elipidius Rwegoshora anayedaiwa kuhusika katika mauaji ya mtoto albino, Asimwe Novart mpaka ...Vinywaji 5 vinavyosababisha ngozi kuzeeka
Kila mtu anapenda kuonekana akiwa na ngozi nzuri yenye kupendeza. Hata hivyo, baadhi ya watu hawafahamu kuwa baadhi ya mazoea yanaweza kuwa ...Baba, Paroko wakamatwa wakiwa na viungo vinavyodhaniwa ni vya mtoto albino aliyeuawa Kagera
Kufuatia mauaji ya kikatili yaliyofanywa kwa mtoto Asimwe Novart (2) mwenye ulemavu wa ngozi aliyeporwa na watu wasiojulikana katika Kijiji cha Bulamulaa ...