Maisha
Wezi wavunja kanisa, wanywa divai na kula mikate ya sakramenti
Taharuki imetanda miongoni mwa waumini wa Kanisa la Anglikana (ACK) St. Matthew’s Mutithi lililopo Kirinyaga, baada ya watu wasiojulikana kuvunja na kuiba ...Mwanaume wa miaka 52 ashikiliwa kwa kumuua mpenzi wake wa zamani kisa wivu
Jeshi la Polisi mkoani Mara linamshikilia Macherege Wambura (52) mkazi wa Kijiji cha Robanda Wilaya ya Serengeti mkoani Mara kwa tuhuma za ...Mfalme Zumaridi akamatwa na Polisi Mwanza
Jeshi la Polisi mkoani Mwanza limesema linamshikilia na linaendelea kumhoji Diana Bundala na maarufu kama Mfalme Zumaridi (42) ambaye ameyageuza makazi yake ...Rais mstaafu wa Mauritania ahukumiwa miaka 15 jela
Mahakama ya rufaa nchini Mauritania imemhukumu Rais mstaafu, Mohamed Abdel Aziz kifungo cha miaka 15 jela na faini ya dola milioni 3 ...Finland yaipa Tanzania heshima ya kipekee Barani Afrika
Tanzania imetoa wito kwa wawekezaji kutoka nchini Finland kuongeza ushiriki wao katika kuchochea uchumi na biashara nchini kama mbia mkubwa wa maendeleo ...Serikali ya Kenya yafunga jengo la Freemason kwa kutolipa kodi
Serikali ya Kaunti ya Nairobi nchini Kenya imefunga jengo la Freemasons’ Hall la Grand Lodge of East Africa lililoko katikati ya jiji ...