Maisha
Polisi yatoa taarifa ya mwanaume kuokotwa Coco Beach na baadaye kufariki
Mwanaume mmoja ambaye hajafahamika jina wala makazi yake anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 30 hadi 35, amekutwa kwenye mchanga wa ufukwe ...Serikali kuendeleza mabonde ili kukabiliana na mafuriko nchini
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali inaendelea na mpango wa kuyaendeleza mabonde nchini kwa kuyatumia kutoa huduma za kijamii ikiwemo upatikanaji wa ...DRC, M23 zakubaliana, kutafuta, amani,
Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) na waasi wa M23 wameahidi kutafuta amani kufuatia majadiliano ya zaidi ya wiki moja ...Mwalimu Mkuu ahukumiwa miaka 30 jela kwa kumbakaji, kumlawiti mwanafunzi
Mahakama mkoani Mara imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela aliyekuwa Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Masahunga, Wilayani Bunda, mkoani humo, Vicent ...Waziri Gwajima: Tutamhoji Mwijaku kuhusu sakata la mabinti wa vyuo
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima amesema mtu aliyetajwa kwa jina la Mwijaku kwenye video ...Mrithi wa Papa Francis anaweza kutoka Afrika?
Tetesi kuhusu mrithi wa Papa Francis zimeanza baada ya kifo chake, huku Kardinali Robert Sarah kutoka Guinea akitajwa kuwa miongoni mwa wanaopewa ...









