Maisha
Baba awaua watoto wake kwa kuwakata vichwa
Hali ya majonzi imetanda katika eneo la Tach Asis, Konoin, Kaunti ya Bomet nchini Kenya, baada ya mwanaume mmoja mwenye umri wa ...Wamarekani waliohukumiwa kifo kwa jaribio la mapinduzi DRC washitakiwa Marekani
Marekani imewashitaki raia wake wanne kwa kuhusika kwenye jaribio la kupindua Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), baada ya watatu ...Wamarekani watatu waliohukumiwa kifo DRC warudishwa kwao
Raia watatu wa Marekani waliohukumiwa kifo kwa kuhusika katika jaribio la mapinduzi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo mwaka jana wamerudishwa Marekani ...Serikali: Hakuna Mtanzania hata mmoja atakayekosa huduma za VVU/UKIMWI
Serikali imesema kwa kutambua mabadiliko ya kisera kutoka kwa baadhi ya washirika wa muda mrefu wa masuala ya UKIMWI, serikali inachukua hatua ...Serikali: Watu 60,000 wanaambukizwa VVU kila mwaka
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kiwango cha maambukizi mapya ya Virusi vya Ukimwi ni watu 60,000 kila mwaka, ambapo vijana wanaopata maambukizi ...Utafiti: Masalia ya ARV yabainika kwenye nyama ya kuku na nguruwe
Utafiti uliofanywa na watafiti kutoka Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) mwaka 2024, na kuchapishwa Machi 28, 2025 katika ...









