Maisha
Chuo Kikuu Ardhi kufanya uchunguzi pacha waliofanyiana mtihani
Kufuatia mahojiano na pacha waliokuwa wakisoma Chuo Kikuu Ardhi wakieleza jinsi walivyoweza kufanyiana mtihani, uongozi wa chuo hicho umesema unafanya uchunguzi wa ...Balozi Dkt. Nchimbi: Dhamira ya Rais Samia ni kuhakikisha nchi inaongozwa kwa kuzingatia misingi ya ...
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema dhamira ya Mwenyekiti wa CCM, Rais Samia Suluhu Hassan ni kuhakikisha nchi inaongozwa kwa kuzingatia misingi ya ...Mfahamu Dorothy Semu, kiongozi aliyemrithi Zitto Kabwe ACT-Wazalendo
Dorothy alizaliwa mwaka 1975 na wazazi waliokuwa watumishi wa umma na kukulia jijini Arusha na mkoani Kilimanjaro nchini Tanzania. Alipata shahada ya ...Mahakama yawatoza faini ya laki 3 waliomteka mwanamke kwa siku nne
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imewahukumu wanaume sita kulipa faini ya shilingi 300,000 au kwenda jela miaka mitatu kila ...Bashungwa amsimamisha kazi meneja wa TANROADS kwa uzembe
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amemsimamisha kazi Meneja wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) mkoa wa Lindi, Eng. Andrea Kasamwa kwa kushindwa ...Zuchu apigwa marufuku kufanya muziki Zanzibar kwa miezi sita
Msanii maarufu wa kizazi kipya Zuhura Othman Soud ‘Zuchu’ amefungiwa kufanya shughuli zote za sanaa visiwani Zanzibar kwa kipindi cha miezi sita ...