Maisha
Rais: Tutapitia upya maslahi ya Kada ya Ualimu ili kuipa hadhi stahiki
Rais Samia Suluhu Hassan amesema ili kuendana na Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014, toleo la 2023, Serikali itapitia upya ...Mwanamke apigwa hadi kufa kwa kudaiwa kuiba mtoto
Mwanamke mmoja kutoka mji wa Sindo, Suba Kusini, Kaunti ya Homa Bay nchini Kenya, ameuawa na kundi la watu wenye hasira kali ...Baba ampiga risasi binti yake kwa kuchukizwa na maudhui aliyokuwa akichapisha Tiktok
Mwanaume mmoja aitwaye Anwar ul-Haq, aliyekuwa ameirejesha familia yake Pakistan baada ya kuishi Marekani kwa miaka 25, amekiri kumuua binti yake wa ...Uganda yathibitisha uwepo wa ugonjwa wa Ebola jijini Kampala
Wizara ya Afya nchini Uganda imethibitisha kuzuka kwa ugonjwa wa Ebola katika Mji mkuu Kampala, huku mgonjwa wa kwanza aliyethibitishwa akifariki kutokana ...Miili ya wanafunzi saba waliofariki kwa radi yaagwa, Rais Samia agharamia misiba
Maelfu ya waombolezaji wamejitokeza kuaga miili ya wanafunzi saba wa Shule ya Sekondari Businda iliyopo wilayani Bukombe mkoani Geita waliofariki kwa kupigwa ...Madereva wa malori kutoka Tanzania wakwama DRC kufuatia machafuko
Madereva kadhaa wa malori kutoka Tanzania wamekwama katika mji wa Goma, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), kutokana na machafuko yanayoendelea katika ...