Maisha
Watu 25 walazwa hospitalini kwa kula kibudu cha ng’ombe
Watu ishirini na tano wamelazwa hospitalini baada ya kula nyama ya ng’ombe aliyekufa katika eneo la Masindoni, Chepalungu, Kaunti ya Bomet nchini ...Polisi: Aliyeonekana akikamatwa kwa nguvu, alikuwa akikaidi kukamatwa
Jeshi la Polisi limetoa ufafanuzi wa video inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii ikionesha mwendesha pikipiki akikamatwa kwa nguvu na Polisi Februari 20, ...Polisi wamsaka mwanamke kwa tuhuma za kumuua mchepuko wa mume wake
Polisi mjini Kisumu nchini Kenya wanamsaka mwanamke anayedaiwa kumchoma kisu na kumuua mwanamke mwingine aliyeshukiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mume ...Hamas yaachilia miili ya Waisrael wanne waliokuwa mateka
Kundi la Hamas limeachilia miili ya watu wanne akiwemo mwanamke na watoto wake wawili, pamoja na mwanaume mzee mwenye umri wa miaka ...Baraza la Wazee Arusha lamwomba Rais kuteua mwakilishi wao bungeni
Baraza la Wazee Arusha limetaka ushirikishwaji katika vikao mbalimbali vya kijamii na ngazi za kimaamuzi ikiwemo Bungeni ili kutumia hekima na busara ...NCCR Mageuzi yasema haiko tayari kuungana na vyama vingine Uchaguzi Mkuu
Chama cha NCCR- Mageuzi kimetangaza kwamba hakina mpango wa kushirikiana na chama chochote katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 na kimethibitisha kushiriki ...









