Maisha
Tanzania na Somalia zasaini mkataba kubadilishana wafungwa
Serikali ya Tanzania na Jamhuri ya Shirikisho la Somalia zimesaini mikataba miwili ya makubaliano ya kushirikiana na katika masuala ya Ulinzi na ...Marekani yaitaka Rwanda kusitisha mapigano DRC
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imeishinikiza Rwanda kusitisha mapigano mara moja katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, huku ikitoa tahadhari ...Mali, Niger na Burkina Faso zajiondoa ECOWAS
Nchi zinazoongozwa na jeshi Mali, Niger, na Burkina Faso zimejiondoa rasmi katika Jumuiya ya Uchumi ya Mataifa ya Afrika Magharibi (ECOWAS). Nchi ...Ubalozi wa Kenya nchini DRC wavamiwa na waandamanaji
Ubalozi wa Kenya uliopo Kinshasa, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), umeshambuliwa na waandamanaji wenye hasira wakipinga mzozo unaoendelea mashariki mwa nchi ...Colombia yakubali kuwapokea wahamiaji waliorejeshwa baada ya vitisho vya Trump
Mgogoro wa biashara kati ya Marekani na Colombia umemalizika kwa makubaliano, huku Colombia ikikubali kupokea wahamiaji waliorejeshwa kutoka Marekani kwa ndege za ...Mganga wa kienyeji akamatwa akiwa na fisi, adai anamtumia kusafiria
Jeshi la Polisi mkoani Simiyu limemkamata mtuhumiwa mmoja ambaye ni mganga wa kienyeji akiwa na fisi. Taarifa ya Jeshi la Polisi imesema ...