Maisha
Wakuu wa Nchi EAC na SADC wasisitiza mazungumzo kurejesha amani DRC
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania inaendelea kujitolea kusaidia juhudi zinazoendelea za kidiplomasia kumaliza mgogoro mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ...Wizara ya Afya yafafanua upatikanaji wa dawa za ARV
Wizara ya Afya imesema dawa za kufubaza makali ya Virusi vya Ukimwi (ARV) haziuzwi na zipo za kutosha, hivyo watumiaji wa dawa ...Rais wa Colombia apendekeza kokeini ihalalishwe duniani kote
Rais wa Colombia, Gustavo Petro, amesema biashara ya kokeini inaweza kudhibitiwa kwa urahisi ikiwa dawa hiyo itahalalishwa duniani kote, kwakuwa dawa hiyo ...Akiri kumbaka mtoto wa miaka mitano, adai ni shetani alimpitia
Mahakama ya wilaya Sengerema mkoani Mwanza imemhukumu Nicholaus Paulo Kidoganya (21) mkazi wa Kijiji cha Nyehunge, kifungo cha miaka 30 jela baada ...Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani wathibitisha Watanzania 24 kushikiliwa na Idara ya Uhamiaji
Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani umethibitisha kuwa Watanzania 24 wanashikiliwa na Mamlaka ya Uhamiaji na Forodha ya Marekani (ICE) kwa kuishi nchini ...Daktari asimamishwa kazi kwa madai ya kumbaka mgonjwa
Daktari mmoja kutoka Mombasa nchini Kenya, Dias Jumba Wabwire, amesimamishwa kazi na Baraza la Maafisa wa Kliniki baada ya kudaiwa kumbaka mgonjwa ...









