Maisha
Watu 12 waripotiwa kuambukizwa Ebola Uganda
Shirika la Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa Afrika (CDC) limethibitisha ongezeko la visa 12 vya ugonjwa wa Ebola katika mikoa miwili tofauti nchini ...Trump kuwafutia hadhi ya hifadhi ya muda Waukraine 240,000
Rais wa Marekani, Donald Trump anapanga kufuta hadhi ya hifadhi ya muda kwa takriban wakimbizi 240,000 wa Ukraine waliokimbia uvamizi wa Urusi, ...Ndege za kivita za Korea Kusini zadondosha mabomu kwa bahati mbaya eneo la raia
Watu 15 wamejeruhiwa nchini Korea Kusini baada ya mabomu yaliyodondoshwa na ndege za kivita kuanguka katika eneo la raia na kusababisha uharibifu ...Bwawa la Kidunda kuondoa kero ya maji Dar, Pwani, Morogoro
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kukamilika kwa Mradi wa Ujenzi wa Bwawa la Maji Kidunda kutaongeza uhakika wa upatikanaji wa huduma ya ...Kisa cha Rais Sankara na rafiki yake Compaoré
Blaise Compaoré na Thomas Sankara walikuwa marafiki wa karibu. Waliongoza mapinduzi ya mwaka 1983, yakamfanya Sankara kuwa Rais wa Burkina Faso, huku ...Akamatwa kwa tuhuma za kughushi kadi za NIDA
Jeshi la Polisi mkoani Mbeya linamshikilia Consolata Mwasege (47), mfanyabiashara na mkazi wa Ilomba Jijini Mbeya kwa tuhuma za kujihusisha na matukio ...