Maisha
Majaliwa: Wizara ya Kilimo ifuatilie watendaji wa vyama vya ushirika
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Kilimo iimarishe na kufanya ufuatiliaji wa watendaji wa vyama vya ushirika ili wazingatie maadili ya ...Jaji wa Mahakama ashitakiwa kwa kumtorosha mtuhumiwa
Jaji wa Mahakama ya Wilaya ya Milwaukee, nchini Marekani, Hannah Dugan, amekamatwa na maafisa wa FBI na kufikishwa mahakamani kwa tuhuma za ...Ashikiliwa kwa tuhuma za kuchoma nyumba iliyoua watu tisa, chanzo mgogoro wa ardhi
Jeshi la Polisi nchini Kenya linamshikilia Christopher Okello Owino kama mshukiwa mkuu wa tukio la kuchoma nyumba moto uliosababisha vifo vya watu ...Polisi yatoa taarifa ya mwanaume kuokotwa Coco Beach na baadaye kufariki
Mwanaume mmoja ambaye hajafahamika jina wala makazi yake anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 30 hadi 35, amekutwa kwenye mchanga wa ufukwe ...Serikali kuendeleza mabonde ili kukabiliana na mafuriko nchini
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali inaendelea na mpango wa kuyaendeleza mabonde nchini kwa kuyatumia kutoa huduma za kijamii ikiwemo upatikanaji wa ...DRC, M23 zakubaliana, kutafuta, amani,
Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) na waasi wa M23 wameahidi kutafuta amani kufuatia majadiliano ya zaidi ya wiki moja ...