Maisha
Mchungaji anayesakwa na FBI kwa biashara ya ngono kwa watoto akamatwa
Mchungaji wa Ufilipino, Apollo Quiboloy mwenye ushawishi mkubwa na aliyekuwa akisakwa nchini Ufilipino na Marekani kwa tuhuma za biashara ya ngono kwa ...Rais Samia: Serikali ninayoiongoza haivumilii vitendo vya kikatili
Kufuatia mauaji ya kikatili yaliyotokea kwa aliyekuwa Mjumbe wa Sekretariati ya CHADEMA, Ally Mohammed Kibao, Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza vyombo vya ...Fahamu kazi ya Tufaa la Adam inayoonekana zaidi kwa wanaume
Tufaa la Adam (Adam’s Apple), nundu inayoonekana shingoni hasa kwa wanaume, ambayo kitaalamu ni prominentia laryngea, kazi yake kuu ni kulinda kisanduku ...Rais Samia: Tutaendelea kuimarisha ushirikiano na China katika maendeleo ya kiuchumi
Rais Samia Suluhu Hassan amesema ushirikiano kati ya China na nchi za Afrika umeleta matokeo chanya kwa maisha ya watu wa Afrika, ...Mganga anayedaiwa kuwaambia wavuvi wafanye tendo la ndoa ziwani kuzuia UKIMWI akamatwa
Kamati ya Ulinzi na Usalama imemkamata mganga wa kienyeji maarufu ‘Askofu’ katika Mhalo wa Mbamba Bay, Wilaya ya Nyasa kwa tuhuma za ...Polisi yakanusha Bobi Wine kupigwa risasi, yadai alijikwaa
Polisi nchini Uganda wamekanusha madai kwamba kiongozi wa upinzani, Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine, alipigwa risasi Jumanne jioni, badala yake, wamesema ...









