Maisha
Rais Samia: Serikali inawekeza nguvu kubwa kwa vijana
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali imeweka jitihada kubwa katika kuwawezesha vijana kutumia rasilimali za nchi zilizopo ili kujiletea maendeleo na kuboresha ...Mikoa 12 yenye kiwango kikubwa cha udumavu Tanzania
Udumavu wa lishe, au utapiamlo, ni hali inayojitokeza wakati mwili wa mtu unapopata au kutumia lishe isiyo bora au duni. Sababu kuu ...Mwandaaji wa Miss Rwanda jela miaka mitano kwa ubakaji
Mwandaaji wa shindano la urembo la Miss Rwanda, Dieudonne Ishimwe (36) maarufu Prince Kid amehukumiwa kifungo cha miaka mitano jela kwa kosa ...Urusi kujengea kinu cha nyuklia nchini Burkina Faso
Viongozi wa kijeshi wa Burkina Faso wamesaini makubaliano na nchi ya Urusi ya kujenga kinu cha nyuklia ili kuongeza uzalishaji wa umeme ...Wakili feki aliyeshinda kesi zote akamatwa
Mamlaka nchini Kenya imemkamata wakili feki, Brian Mwenda ambaye amekuwa akijitambulisha kama Wakili wa Mahakama Kuu ya Kenya. Chama cha Wanasheria cha ...Kanisa lahusishwa na mauaji ya Waziri Mkuu Mstaafu wa Japan
Serikali ya Japan imeiomba mahakama iamuru kufutwa kwa kanisa ambalo shughuli zake zimehusishwa kuwa sababu ya kuuawa kwa Waziri Mkuu wa zamani, ...