Maisha
Treni ya abiria yapata ajali Kigoma na kujeruhi 70
Treni ya abiria namba Y14 ikiwa na kichwa cha treni namba 9002, mabehewa 12 ya abiria, behewa moja la vifurushi (parcel) na ...Mbwa wote wanaozurura mitaani kuuawa Kibaha
Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha imeagiza mbwa wasiokuwa na makazi na kuzurura ovyo mitaani kuuawa kwani wamekuwa tishio kubwa kwa jamii kutokana ...Rais atoa rai maeneo ya Kizimkazi yatumike vizuri kwa manufaa ya kizazi kijacho
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa rai kwa wakazi wa maeneo ya Kizimkazi kuyatumia vizuri maeneo yao wanayoyamiliki kwa uangalifu na wasiyatoe bila ...Amuua mpenzi wake, akatakata viungo na kuvitupa
Jeshi la Polisi linamshikilia Abdalla Miraji Mussa (42) mkazi wa Sinza kwa Remmy, Dar es Salaam kwa kumuua mwanamke aitwaye Ezania Kamana ...Waafrika 17 akiwemo Mtanzania waokolewa kwenye biashara ya ukahaba India
Polisi nchini India wamewaokoa wanawake 17 wanaotokea Afrika Mashariki kutoka katika biashara ya ukahaba katika wilaya ya Hyderabad baada ya kupata taarifa ...Wananchi wajitolea kumchangia Wakili Madeleka kusimamia kesi ya anayetajwa kuwa ‘Afande’
Baadhi ya wananchi wamejitolea kumchangia pesa Wakili Peter Madeleka na wenzake kusikiliza kesi dhidi ya SSP Fatuma Kigondo ambaye anatuhumiwa kutuma vijana ...









