Michezo
CAF yaufungia Uwanja wa Benjamin Mkapa
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeufungia kwa muda Uwanja wa Benjamin Mkapa uliopo Dar es Salaam kutokana na eneo la ...Yanga yasema haiko tayari kupangiwa Derby siku nyingine
Uongozi wa Yanga SC umesema mchezo uliopanga kuchezwa leo dhidi ya Simba SC saa 1:15 usiku uko pale pale na hakuna mabadiliko ...Prof. Kabudi aufuta uongozi wa Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa nchini
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Profesa Palamagamba Kabudi ameufuta Uongozi wa Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa Tanzania (TPBRC) baada ya ...Rais amzawadia milioni mbili Dullah Mbabe kwa mchango wake kwenye ngumi
Rais Samia Suluhu amempa zawadi ya shilingi milioni mbili bondia wa ngumi za kulipwa nchini, Abdallah Pazi maarufu Dullah Mbabe licha ya ...Bosi Manchester United aahidi kushirikiana na Tanzania kukuza na kutangaza utalii
Mmoja wa wamiliki (co-owners) wa vilabu vya michezo vya Manchester United ya Ligi Kuu ya Uingereza (EPL), klabu ya soka ya Nice ...Ally Kamwe, Mazanzala waitwa Kamati ya Maadili TFF
Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi imewapeleka kwenye Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Afisa Habari wa Yanga ...