Michezo
Serikali yaagiza Uwanja wa Mkapa ukamilike kufikia Mei 10
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma amemuagiza mkandarasi anayesimamia ukarabati wa Uwanja wa Benjamin Mkapa kuhakikisha maeneo muhimu ...Kenya yazuia matangazo ya kamari kwa siku 30
Bodi ya Kudhibiti na Kusimamia Michezo ya Kubahatisha nchini Kenya (BCLB) imetoa agizo la kusitisha matangazo yote ya kamari na michezo ya ...Polisi: Hatutaruhusu uvunjifu wa amani mchezo wa Simba dhidi ya Stellenbosch
Kuelekea mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kati ya Simba SC dhidi ya Stellenbosch FC ya Afrika Kusini utakaochezwa ...Miss Tanzania Tracy Nabukeera atangaza kutoshiriki mashindano ya Miss World
Miss Tanzania mwaka 2023, Tracy Nabukeera ametangaza kuwa hatoshiriki Mashindano ya Miss World 2025. Kupitia chapisho lake kwenye mtandao wa kijamii, amesema ...CAF yaufungia Uwanja wa Benjamin Mkapa
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeufungia kwa muda Uwanja wa Benjamin Mkapa uliopo Dar es Salaam kutokana na eneo la ...Yanga yasema haiko tayari kupangiwa Derby siku nyingine
Uongozi wa Yanga SC umesema mchezo uliopanga kuchezwa leo dhidi ya Simba SC saa 1:15 usiku uko pale pale na hakuna mabadiliko ...