Michezo
Nchi za Kiafrika zilizo na medali nyingi zaidi katika Michezo ya Olimpiki ya Paris 2024
Michezo ya Olimpiki ya Paris 2024 ilimalizika Jumapili, huku nchi kadhaa zikitwaa medali kuanzia dhahabu hadi shaba, na nchi nyingine nyingi zikiondoka ...Simba, Yanga zaikosa Kagame Cup kwa mara ya kwanza
Mashindano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kombe la Kagame) 2024 yanayoshirikisha timu 12 yamefunguliwa leo nchini Tanzania bila uwepo wa ...Lawi arejea Coastal Union licha ya kutambulishwa na Simba
Baada ya Simba SC kushusha mastaa kutoka sehemu mbalimbali akiwemo mchezaji ambaye alikuwa wa kwanza kutambulishwa klabuni hapo, beki wa Coastal Union, ...Tabora United hatarini kufungiwa uwanja wa nyumbani kwa kuvunja kanuni za ligi
Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imesema imeazimia kuufungia uwanja wa Ali Hassan Mwinyi ...Kwanini Mbappe hataruhusiwa kuvaa ‘mask’ ya bendera ya taifa kwenye mechi dhidi ya Uholanzi?
Nahodha wa Ufaransa, Kylian Mbappe hataruhusiwa kuvaa barakoa yenye rangi tatu inayofanana na bendera ya taifa ya Ufaransa atakaporejea kucheza katika Mashindano ...ZFF yapiga marufuku kampuni za ‘betting’ kuingiza Ligi Kuu ya Zanzibar
Shirikisho la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF) limezitaka kampuni za kamari nchini kuondoa mara moja Ligi Kuu ya Zanzibar (PBZ Premier League) ...