Michezo
Kwanini Mbappe hataruhusiwa kuvaa ‘mask’ ya bendera ya taifa kwenye mechi dhidi ya Uholanzi?
Nahodha wa Ufaransa, Kylian Mbappe hataruhusiwa kuvaa barakoa yenye rangi tatu inayofanana na bendera ya taifa ya Ufaransa atakaporejea kucheza katika Mashindano ...ZFF yapiga marufuku kampuni za ‘betting’ kuingiza Ligi Kuu ya Zanzibar
Shirikisho la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF) limezitaka kampuni za kamari nchini kuondoa mara moja Ligi Kuu ya Zanzibar (PBZ Premier League) ...Vilabu vitatu ikiwemo Azam vyapigwa faini kwa vitendo vinavyoashiria ushirikina
Azam FC imetozwa faini ya TZS milioni moja kwa kosa la wachezaji wake na mmoja wa maafisa wake wa ufundi kufanya vitendo ...Yanga yafungiwa kwa kushindwa kumlipa aliyekuwa mchezaji wake
Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) limeifungia Yanga SC kusajili wachezaji mpaka itakapomlipa mchezaji wake, Lazarus Kambole aliyeshinda kesi ya ...Bilioni 19.7 kukarabati Uwanja wa Uhuru
Serikali kupitia Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo imesema Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) utasimamia ukarabati wa Uwanja wa Uhuru mkoani Dar ...Kombe la Muungano kurejea baada ya miaka 20
Shirikisho la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF) pamoja na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) zimetangaza kurejea rasmi kwa Kombe la ...