Michezo
Manara amwomba radhi Waziri Mchengerwa
Aliyekuwa Msemaji wa Klabu ya Yanga, Haji Manara amemwomba radhi Waziri wa Michezo, Mohamed Mchengerwa kwa kudhania kuwa amelielekeza Shirikisho la Mpira ...Meneja: Hatuna taarifa ya Mwakinyo kuvuliwa ubingwa wa ABU
Uongozi wa bondia Hassan Mwakinyo umesema hauna taarifa rasmi kuhusiana na bondia huyo kuvuliwa ubingwa wa African Boxing Union (ABU) hivi karibuni. ...Mwakinyo avuliwa Ubingwa wa Afrika
Bondia wa Tanzania, Hassan Mwakinyo amevuliwa taji la ubingwa wa Afrika (African Boxing Union) kutokana na muda aliotakiwa kuwa ameutetea ubingwa huo ...