Michezo
Beno Kakolanya atoroka kambini Singida FG ikiikabili Yanga
Klabu ya Singida Fountain Gate imesema inasikitishwa na kitendo cha kipa wao Beno Kakolanya kutoroka kambini wakati timu hiyo ikikabiliwa na mchezo ...Yanga yawasilisha malalamiko CAF kuhusu goli la Aziz Ki
Uongozi wa Yanga SC umeandika barua kwa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) ukitaka uchunguzi ufanyike juu ya goli la Yanga ...Serikali kuwapeleka bure mashabiki wa Yanga nchini Afrika Kusini
Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo imesema italipa gharama zote safari na kujikimu kwa mashabaiki wa Yanga kwenda Afrika Kusini katika mchezo ...Serikali yatumia bilioni 2.4 kugharamia timu za Taifa
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Damas Ndumbaro amesema katika kipindi cha Julai 2023 hadi Februari, 2024 wizara kupitia Baraza la ...Uwanja mpya wa mpira Arusha kupewa jina la Rais Samia
Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa amesema uwanja mpya wa michezo utakaojengwa mkoani Arusha unatarajiwa kupewa jina ...Uwanja wa Jamhuri, Morogoro wasimamishwa kutumika Ligi Kuu
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imesitisha matumizi ya uwanja wa Jamhuri, Morogoro urushaji wa matangazo mubashara ya runinga. “Klabu ya Simba ...