Michezo
Kamati ya Waamuzi: Kona waliyopata Simba dhidi ya Singida FG ni batili
Kamati ya waamuzi ya Zanzibar imesema kona iliyotolewa na mwamuzi wa mchezo kati ya Singida Fountain Gate na Simba SC katika nusu ...TFF: Hakuna fedha za maandalizi zilizotolewa na CAF kwa timu zilizofuzu AFCON
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limesema hakuna fedha yoyote iliyotolewa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) kwa ajili ...Uwanja wa Mkapa wafungwa hadi Oktoba 2024, Serikali yaeleza sababu
Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo imetangaza kuufunga Uwanja wa Benjamin Mkapa na Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam mpaka pale ukarabati ...Karia: Zawadi ya milioni 188 ya timu ya U15 itajengea miundombinu
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia amesema fedha za zawadi za michuano ya vijana pamoja na ile ...Rais Samia aitaka TFF kutenga pesa inazokusanya kukarabati viwanja
Rais Samia Suluhu Hassan amelitaka Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kuhakikisha linakarabati viwanja vya michezo kwa kutumia pesa wanazokusanya katika ...