Michezo
Tabora United yafungiwa na FIFA
Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) limeifungia klabu ya Tabora United kusajili mpaka itakapomlipa aliyekuwa mchezaji wake, Evariste Kayembe. Taarifa ...Wateja wa betPawa wajishindia TSh53.8 Bilioni ndani ya siku 10
Dar es Salaam, Novemba 1, 2023…Umekuwa ushindi uliovunja rekodi kwa wateja wa betPawa nchini Tanzania, ambao walijishindia TSh 53.8 Bilioni ndani ya ...Tanzania yataka AFCON 2027 itangazwe kwa Kiswahili
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Damas Ndumbaro amesema Serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania ...Mwakinyo afungiwa mwaka mmoja kwa kukiuka mkataba
Shirikisho la Ngumi Tanzania (TPBRC) limemfungia kwa muda wa mwaka mmoja bondia Hassan Mwakinyo pamoja na kutozwa faini ya TZS milioni moja ...Uwanja wa Mkapa kukamilika ndani ya siku tano
Ukarabati wa awamu ya kwanza unaoendelea katika Uwanja wa Benjamin Mkapa mkoani Dar es Salaam umefikia asilimia 95 na asilimia tano zilizobaki ...Twende Butiama yaanza safari ya kilometa 1500 kutoka Dar es Salaam kuelekea Butiama
Kuelekea kumbukumbu ya kumuenzi baba wa taifa la Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ambaye alifariki Oktoba 14, 1999, msafara wa waendesha baiskeli ...