Siasa
Rais Trump adai Rais wa Ukraine ni dikteta
Rais wa Marekani, Donald Trump amemuita Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky dikteta na kumuonya kuwa lazima achukue hatua haraka ili kupata amani, ...DRC yaiomba Chad msaada wa kijeshi kupambana na M23
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imeomba msaada wa kijeshi kutoka Chad ili kupambana na waasi wa M23 wanaodaiwa kuungwa mkono na ...NCCR Mageuzi yasema haiko tayari kuungana na vyama vingine Uchaguzi Mkuu
Chama cha NCCR- Mageuzi kimetangaza kwamba hakina mpango wa kushirikiana na chama chochote katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 na kimethibitisha kushiriki ...Majaliwa: Wagombea wetu wa Urais hawatakuwa na kazi kubwa Uchaguzi Mkuu 2025
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM ambaye pia ni Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinaendelea ...Waziri Mkuu asema CCM iko tayari kwa uchaguzi wa 2025
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewahimiza ...Tanzania yashinda nafasi mbili Umoja wa Afrika
Tanzania imeshinda nafasi mbili zilizokuwa zikigombewa katika uchaguzi wa Taasisi za Umoja wa Afrika ambazo ni nafasi ya Mjumbe wa Tume ya ...