Siasa
Wasira: Hakuna uhuru wa kutoa maoni kwa kutukanana mitandaoni
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira amesema hakuna uhuru au demokrasi ya kutukana mitandaoni na wala hakuna uhuru usio ...Marekani yaitaka Rwanda kuondoa majeshi yake DRC
Marekani imeitaka Rwanda kuyaondoa majeshi yake kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kabla ya pande hizo mbili kutia saini makubaliano ya amani. ...Wasira: Kaulimbiu ya No Reforms, No Election inakwenda kufikia mwisho
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira, amesisitiza kuwa hakuna mtu au kikundi cha kuzuia uchaguzi huku akiwataka wananchi kutobabaishwa ...Tanzania yakanusha kuwanyanyasa wanaharakati Boniface Mwangi na Agather Atuhaire
Serikali ya Tanzania imekanusha madai yaliyotolewa na wanaharakati wa Kenya na Uganda, Boniface Mwangi na Agather Atuhaire kuhusu kufanyiwa unyanyasaji wa kingono ...Rais Samia: Mafanikio yaliyopo nchini ni matokeo ya ushirikiano wa Kitaifa
Rais Samia Suluhu Hassan amesema mafanikio yaliyopatikana nchini katika kipindi cha uongozi wa Serikali ya Awamu ya Sita yanatokana na utekelezwaji wa ...Sekta Binafsi yabadilisha sura ya Bandari ya Dar es Salaam
Baada ya Serikali ya Awamu ya Sita kufanya uamuzi wa kuruhusu Sekta Binafsi katika uendelezaji na uendeshaji wa baadhi ya maeneo ya ...