Siasa
CHADEMA Zanzibar yamkana Said Mohamed
Kufuatia madai ya aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar, Said Mohamed, kwamba amefungua kesi kwa niaba ya chama hicho kuhusu mgawanyo ...Trump atishia kuzuia kufunguliwa daraja linalounganisha Canada na Marekani
Rais wa Marekani, Donald Trump ametishia kuzuia kufunguliwa kwa daraja jipya lililojengwa na Canada linalounganisha Canada na Marekani kupitia Mto Detroit, akitaka Canada ...Siku 100 za Rais Samia: Serikali yaweka historia ujenzi wa miundombinu
Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi na Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) imekamilisha miradi 40 ya madaraja ya dharura kati ya 81, ikiwemo ...Dkt. Nchimbi asisitiza uhuru wa mahakama usitumike kuminya haki
Makamu wa Rais, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema uhuru wa mahakama usitumike kama sehemu ya kuficha uzembe, upendeleo au vitendo visivyo vya ...Luhaga Mpina akataa kukutana na Tume ya Rais
Mwanachama wa ACT Wazalendo, Luhaga Mpina amekataa kukutana na Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu ...Serikali kuboresha miundombinu ya barabara kurahisisha usafirishaji
Serikali imetangaza mpango wa kuboresha miundombinu ya usafirishaji wa njia ya barabara unaojulikana kwa jina la Expressways Master wenye lengo la kurahisisha ...








