Siasa
Trump asema Marekani itaichukua na kuimilika Gaza baada ya kuwaondoa Wapalestina
Rais Donald Trump amesema Marekani itachukua na kumiliki Ukanda wa Gaza baada ya kuwahamisha Wapalestina kwenda maeneo mengine, chini ya mpango wa ...Gachagua: Ruto alinihusisha na maandamano ya Gen Z kama njama ya kuniondoa
Aliyekuwa Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua amesema hakuwa sehemu ya maandamano ya vijana dhidi ya serikali yaliyofanyika Juni na Julai mwaka ...Taasisi ya Bill Gates kumtunuku tuzo Rais Samia
Rais Samia Suluhu Hassan anatarajia kupokea tuzo ya ‘The Gates Goalkeepers Award’ iliyoandaliwa na taasisi ya ‘The Gates Foundation’ ya nchini Marekani ...Kwanini Trump na Musk wanalipinga shirika la misaada la USAID?
Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID) limekuwa sehemu muhimu ya sera za misaada ya nje ya Marekani kwa zaidi ya ...Trump atangaza kusitisha misaada Afrika Kusini
Rais wa Marekani, Donald Trump, amedai kuwa Afrika Kusini inataifisha ardhi na kuwatendea vibaya watu wa tabaka fulani, kutokana na hayo, ametangaza ...Rais: Tutapitia upya maslahi ya Kada ya Ualimu ili kuipa hadhi stahiki
Rais Samia Suluhu Hassan amesema ili kuendana na Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014, toleo la 2023, Serikali itapitia upya ...