Siasa
Waziri aagiza polisi kuwakamata viongozi wanaosimamia ujenzi wa kituo cha afya Geita
Waziri wa Madini, Anthony Mavunde ameagiza Jeshi la Polisi kuwakamata viongozi wa vijiji na Kata waliokuwa wakisimamia mradi wa ujenzi wa kituo ...Dkt. Mpango aagiza kasi ya usambazaji maji ili kutatua kero za maji
Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango ameitaka Wizara ya Maji kuendelea na kasi ya usambazaji maji kutoka Ziwa Victoria ili kutatua adha ...Mfahamu Naibu Rais Gachagua na kwanini Wakenya wanataka kumuondoa madarakani
Mwanasiasa aliyepitia kwenye taasisi ya mafunzo ya Upolisi mwaka 1990 baada ya kuhitimu Shahada ya Sanaa ya Sayansi ya Siasa na Fasihi ...Waziri Mkuu aagiza watumishi Kigamboni wafikishwe mahakamani kwa ubadhirifu
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameelekeza kufikishwa mahakamani mara moja kwa maafisa wanne wa Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni na watumishi wanne wa ...Gachagua amuomba msamaha Ruto kabla bunge halijafanya uamuzi kuhusu hatma yake
Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua ameomba msamaha kwa Wakenya, bunge na Rais kabla ya wabunge hawajaamua kuhusu kuondolewa kwake ofisini kupitia ...Waziri Mkuu aagiza pesa kukusanywa kwa kutumia mifumo ya kielektroniki
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewataka maafisa masuhuli kwenye Halmashauri zote nchini waweke msisitizo wa kutumia mifumo ya kielektroniki katika makusanyo badala la ...