Siasa
Dkt. Samia: Tusivunje amani ya nchi kwa sababu ya uchaguzi
Rais Samia Suluhu amesema hakutakuwa na vurugu yoyote siku ya kupiga kura kwa kuwa vyombo vya ulinzi na usalama vimejipanga vyema kulinda ...Dkt. Samia awataka Watanzania kudumisha amani uchaguzi mkuu
Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. Samia Suluhu amewahakikishia Watanzania kuwa vyombo vya ulinzi na usalama vimejipanga vyema kulinda amani wakati ...Mahakama yatupilia mbali hoja ya Lissu dhidi ya Polisi
Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu ameieleza mahakama kuwa hayuko tayari shauri lake kuendelea kusikilizwa mpaka pale majaji watakapotoa uamuzi juu ya mambo ...Polisi yamtaka Polepole afike Ofisi ya DCI kutoa ushahidi wa tuhuma alizotoa
Jeshi la Polisi limemwelekeza aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole afike katika Ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya ...Luhaga Mpina aondolewa kwenye kinyang’anyiro cha Urais
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imekubali pingamizi lililowasilishwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari dhidi ya uteuzi wa Mgombea ...Dkt. Samia aahidi kuifanya Kigoma kuwa kitovu cha biashara
Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Samia Suluhu Hassan ameahidi kuifanya Mkoa wa Kigoma kuwa Kitovu cha biashara ...








