Siasa
Rais Samia: Tunataka kujenga mfumo wa kodi unaotenda haki
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali imeendelea kutatua changamoto za kodi nchini ambapo imeimarisha mifumo ya ukusanyaji mapato na kuijengea uwezo Mamlaka ...ACT Wazalendo yaitaka TCRA kuondoa zuio la kuisitishia leseni Mwananchi
Chama cha ACT- Wazalendo kimelaani hatua ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kusitisha leseni ya huduma za maudhui mtandaoni kwa kampuni ya ...CHADEMA yalaani kauli ya udini iliyotolewa na wazee wa CHADEMA Zanzibar
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimelaani kauli zilizotolewa zenye viashiria vya udini ambazo zimesikika wakati wazee wa chama hicho walipokuwa wakifanya ...Wabunge Kenya waomba ulinzi baada ya kuunga mkono kuondolewa kwa Gachagua
Wabunge nchini Kenya wametaka kuhakikishiwa usalama wao kufuatia kuwasilishwa kwa hoja ya kumtimua Naibu Rais wa nchi hiyo, Rigathi Gachagua. Mmoja wa ...Rais Samia atoa rai kwa viongozi kuiga mfano wa Sokoine
Rais Samia Suluhu ametoa rai kwa viongozi kuiga sifa za aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania, Edward Moringe Sokoine katika uongozi ikiwa ni ...Gachagua akanusha kumtishia Ruto ampe bilioni 169 ili aachie wadhifa
Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua amekanusha madai kwamba alimtaka Rais William Ruto kumpa KSh 8 bilioni [TZS bilioni 169.7] ili kuachia ...