Siasa
Jeshi la Polisi: Maandamano ya CHADEMA yasingekuwa ya amani kama walivyosema
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema limewakamata watu 14 wakiwemo baadhi ya viongozi wa CHADEMA ambao ni Mwenyekiti ...Jeshi la Polisi lazuia mkutano wa Lissu Tanga
Jeshi la Polisi Wilaya ya Tanga limezuia mkutano wa hadhara uliotarajiwa kufanyika Septemba 20, 2024 Tanga Mjini ambapo mgeni rasmi alikuwa Makamu ...Rais Samia akemea kauli za kibaguzi zilizotolewa na baadhi ya balozi za kigeni
Rais Samia Suluhu Hassan ameweka wazi kuwa Tanzania ni nchi inayojitegemea na yenye hadhi, na hivyo haiwezi kuamriwa na watu wa nje ...Jeshi la Polisi lapiga marufuku maandamano ya CHADEMA
Jeshi la Polisi limepiga marufuku na kutoa onyo kwa viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuacha kuendelea kuhamasisha wananchi kujihusisha ...Rais Samia: Tutaendelea kuimarisha ushirikiano na China katika maendeleo ya kiuchumi
Rais Samia Suluhu Hassan amesema ushirikiano kati ya China na nchi za Afrika umeleta matokeo chanya kwa maisha ya watu wa Afrika, ...Polisi yakanusha Bobi Wine kupigwa risasi, yadai alijikwaa
Polisi nchini Uganda wamekanusha madai kwamba kiongozi wa upinzani, Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine, alipigwa risasi Jumanne jioni, badala yake, wamesema ...